Michuano ya kombe la klabu bingwa Afrika imeendelea jana kwa michezo kadhaa.
Miongoni
mwa matokeo ya mechi hizo Enyimba ya Nigeria imeibugiza Vitaloo ya
Burundi mabao 5-1, St George ya Ethiopia imetoshana nguvu na TP Mazembe
ya Drc Congo bao 2-2, Union Douala ya cameroon imechapwa bao 1-0 na
Zamalek ya Misri.Na katika Michuano ya kombe la shirikisho Klabu ya St Eloi Lupopo ya Drc imeifunga Ahli Shendi ya sudani bao 2-1, Al Ittihad ya Libya imeichabanga Medeama ya Ghana bao 1-0, na Nasarawa ya Nigeria imeichapa Costantine ya Algeria bao 1-0.
Michuano hiyo inatarajia kuendelea tena march 18 mwaka huu.

Post a Comment Blogger Facebook