![]() |
| Anthony Joshua alitwaa mkanda wa IBF wa dunia uzani wa Heavyweight |
Bondia Anthony Joshua amesema sasa
macho na akili zake anazielekeza kwa bondia Tyson Fury hii ni baada ya
kushinda mkanda wa IBF wa dunia uzani wa Heavyweight siku ya Jumamosi na
katika raundi ya pili ya mtoano ya dhidi ya mpinzani Charles Martin.
Mwingereza
huyo mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni bingwa wa Olimpiki amesema sasa
anahitaji kupambana na bondia Fury na kuendelea kutetea mataji.

Post a Comment Blogger Facebook