Title: Mechi ya leo noma: Aston Villa 0-0 Man City
Author: Unknown
Rating 5 of 5
Des:
Amini usiamini Aston Villa wanapata alama moja muhimu kutoka kwa vinara wa ligi kuu ya Uingereza Manchester City. City walikuwa na mazoea ...
Amini usiamini Aston Villa wanapata alama moja muhimu kutoka kwa vinara wa ligi kuu ya Uingereza Manchester City.
City walikuwa na mazoea ya kuchukua pointi zote tatu lakini sasa Villa wamepata alama yao muhimu.
Na sasa wanavunja msururu wa kushindwa katika mechi 14.
Kipa wa Aston Villa analazimika kufanya kazi ya ziada kuwanyima Man City bao
Mpira umekwisha !
Mashambulizi yanachacha mbele ya lango la Aston Villa
Manchester United wanafanya mashambulizi makali mbele ya lango la Villa.
Loooooo
Mpira kombora la Vincent Kompany linagonga mchuma
Kona
Manchester City wanapata kona muhimu lakini wapi
86:17 Aston Villa 0-0 Man City
Kona kuelekea upande wa Manchester City
Joe Hart ndiye anayeipangua mpira wa kutupwa na inakuwa kona.
Aston Villa 0-0 Man City
86 :06
Charles N'Zogbia ameanguka chini baada ya kugongwa jicho kimakosa.
80 :00 Aston Villa 0-0 Man City
Ngome ya Villa leo imeimarika.
Makocha wote wawili wanatafuta ushindi
Inaonekana kocha mpya Remi Garde ameanza kufanya mabadiliko yanayoonekana !
Dakika kumi ya mchezo zimesalia.
78:20 Badiliko Manchester City
Yaya Toure anaondoka na Fabian Delph anaingia.
Mashabiki hawafurahii wanamzomea
77 :00 Aston Villa 0-0 Man
Raheem Sterling anakosa nafasi nzuri ya kuiweka City mbele
75 :00 Aston Villa 0-0 Man City
74:16 Kona ya , Aston Villa.
Vincent Kompany ndiye aliyegonga nje.
71:08 Badiliko Aston Villa.
Leandro Bacuna anaingia Scott Sinclair anapumzishwa
Zimesalia sasa chini ya dakika 18 katika mechi hii.
70:00 LOOOOOOOOO
Sinclair anakosa nafasi nzuri ya kuvunja safu ya ulinzi ya Manchester City
Mkwaju wake unapaa juu ya mlingoti
55:00 Aston Villa 0-0 Man City
Man City wanafanya wimbi baada ya wimbi la mashambulizi
Vijana wa Manuel Pellegrini wanaonekana kuwa na hamu ya kutafuta ushindi kuliko ilivyokuwa katika kipindi cha kwanza.
Kwa Upande wake Remi Garde, anafurahia matokeo yaliyo hadi sasa.
je vijana wake watastahimili mashambulizi haya ?
Kwa sasa inaonekana asilimia kubwa ya mchezo huu unachezwa katika nusu ya Aston Villa.
Aleksandar Kolarov anafuma mkwaju unaomtatatiza kipa wa Villa Brad Guzan
52:00 Aston Villa 0-0 Man City
Raheem Sterling anakosa nafasi nzuri ya kuiweka City mbele.
mkwaju wake wa kichwa unamgonga kipa wa Aston Villa.
50:00 Free kick
Freekick
Nicolás Otamendi anaipatia (Manchester City) Freekick nje ya eneo la hatari.
50:00 Aston Villa 0-0 Man City
Manchester City wameshinda mechi 7 kati ya 8 walizocheza dhidi ya Aston Villa
Kevin de Bruyne
City wamefunga mabao 22
Kwa ujumla City wamewafunga Villa mabao 68 na kushinda mechi 21 .
je leo itakuwa siku ya Villa ama wageni wao vinara wa ligi kuu ya Uingereza Man City? 45'00 Aston Villa 0-0 Man City
Tumerejea katika kipindi cha pili.
45'00 Aston Villa 0-0 Man City
Kipindi cha kwanza kimekamilika
Matokeo yakiwa ni sare tasa.
42 :00 Kevin De Bruyne anafanya kazi ya ziada katika mkono wa kulia lakini wapi
Juhudi zake zinaambulia patupu .
Raheem Sterling anakosa kasi ya kupata ''cross'' safi .
39:20Carles Gil (Aston Villa) anapiga nje.
38:44 Nicolás Otamendi (Manchester City) anaoneshwa kadi ya njano kwa kuchezwa visivyo
38:30 Aston Villa 0-0 Man City
Freekick kuelekea lango la Man City.
Aston Villa 0-0 Man City
34:54 Kona ya Manchester City.
Jordan Amavi anagonga nje
34:30 Aston Villa 0-0 Man City
Iwapo Aston Villa watashindwa itakuwa ni kichapo chao cha 17 katika mashindano yote.
Hii ndiyo mwanzo wao mbaya zaidi katika ligi ya Uingereza
Manchester City wanalazimika kufanya
Kona kuelekea lango la Aston Villa
27:09 Free kick
Kevin De Bruyne anachezewa visivyo inakuwa ni Freekick kuelekea (Manchester City) .
26:30 Aston Villa 0-0 Man City
Manchester City wanalazimika kufanya mabadiliko mapema.
Jesús Navas anaingia uwanjani kuchukua pahala pa Wilfried Bony
24:30 Aston Villa 0-0 Man City
24:30 Aston Villa 0-0 Man City
14 Wilfred Bony anachechemaa akitoka nje anaonekana kama ameumia sana
20:30 Aston Villa 0-0 Man City
20:17 Kona kuelekea upande wa A. Villa
Ciaran Clark
15:28 Foul
Jordan Ayew (Aston Villa).
13:42 Idrissa Gueye (Aston Villa) anapoteza nafasi nzuri ya kuishambulia man City,
Mkwaju ni hafifu mno 00:05 Aston Villa 0-0 Man City
Kevin De Bruyne
Image caption
Kevin De Bruyne
Free kick kuelekea lango la (Aston Villa) Micah Richards
Kipa mchanga lakini machachari
00:05 Aston Villa 0-0 Man City
Offside, Manchester City.
Manchester City ndio wanaongoza jedwali la ligi kuu ya Uingereza
Bacary Sagna anapiga cross lakini Kevin De Bruyne anaotea ! 00:03 Aston Villa 0-0 Man City
Alan Hutton anapiga 'cross' lakini Joe Hart anauzima 00:00 Aston Villa 0-0 Man City
Aston Villa 0-0 Man City
Aston Villa 0-0 Man City
Timu ya Aston Villa
Mechi imeanza Timu
inayoongoza katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza Manchester City
inachuana dhidi ya Aston Villa Inayoshikilia nafasi ya 20 katika msimamo
wa ligi hiyo ya EPL.
Aston Villa ndio wanaoshikilia nafasi ya mwisho katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza
Timu iliyotolewa na kocha Manuel Pellegrini
inatofauti moja tu kutoka kwa ile ile iliyoilaza Sevilla katika mechi ya
kuwania ubingwa wa Ulaya .
Mechi imeanza
Kevin De Bruyne anarejea uwanjani na kuchukua pahala pake Jesus Navas. Manchester City
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Post a Comment Blogger Facebook