In shaa Allaah, Hajjan mabruuran wadhamban maghfuuran.
Mahujaaj kutoka Zanzibar wakiomba
dua katika Viwanja vya Arafah jana, siku ambayo ni muhimu kwa kila
Hajji. Siku ambayo Allaah huwasamehe waja wake madhambi yao yote. Siku
ambayo ni bora katika katika masiku yote ya mwaka mzima. Allaahumma
watakabalie Mahujaaj wote. Amin

Post a Comment Blogger Facebook